Matokeo ya Ligi kuu NBC Leo 14 Februari 2025, Matokeo ya Ligi kuu NBC Leo 14 February 2025, Matokeo ya Ligi kuu NBC Leo 14/2/2025, Matokeo Ligi kuu NBC Leo February 14 2025
Matokeo ya Ligi kuu NBC Leo 14 Februari 2025
Katika makala hii tunakuwekea matokeo ya Mechi nne za Ligi kuu NBC Premier League kwa leo 14 February 2025 , Mechi hizi zitachezwa kwa muda tofauti kukiwa na mechi ya SAA nane, mechi mbili za saa kumi na moja ya saa moja usiku.
Matokeo ya Tabora United vs Kengold 14/2/2025
Tabora United watakuwa nyumbani katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo katika mkoa wa Tabora , Mpaka sasa kwenye msiamamo Tabora United wapo katika nafasi ya 5 wakiwa na Points zao 31 na Kengold wao wakiwa katika nafasi ya 16 kati ya timu 16 wakiwa na Points 9. Mechi hii itaanza saa nane kamili
FULL TIME
Tabora United 1 – 1 Kengold
Matokeo ya Tanzania Prisons vs Namungo 14/2/2025
Klabu ya Tanzania Prisons ambayo imetoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Simba itakuwa nyumbani katika uwanja wa ccm Sokoine kuwakaribisha Namungo, Tanzania Prisons wapo katika nafasi ya 14 wakiwa na Points 17, Nao Namungo ambao wapo katika nafasi ya 13 wanajumla ya Points 18, kwahiyo battle itakuwa kubwa sana kwa timu hizi kwani zote zipo katika nafasi ambazo siyo salama sana. Mechi hii ya Tanzania Prisons vs Namungo itaanza saa kumi na Robo kwa saa za Afrika Mashariki.
FULL TIME
Tanzania Prisons 0 – 1 Namungo
Matokeo ya KMC vs Yanga 14/2/2025
Klabu ya KMC itakuwa Nyumbani katika uwanja wa KMC kuwakaribisha klabu ya Yanga katika mchezo ambao unatarajiwa kuwa mgumu na wa kuvutia , KMC wao wapo katika nafasi ya 7 wakiwa na Points zao 22 na wakiwa wametoka kushinda katika mchezo uliopita, Klabu ya Yanga wao wapo katika nafasi ya Pili wakiwa na Points 46. Mechi hii itaanza saa kumi na Robo 1615 Hours .
FULL TIME
KMC 1 – 6 YANGA
Matokeo Kagera Sugar vs Fountain Gate leo 14/2/2025
Katika uwanja wa Kaitaba uliopo kwenye Manispaa ya Bukoba klabu ya Kagera Sugar itakuwa dimbani kucheza mchezo wake dhidi ya Fountain Gate ambao wapo katika nafasi ya 8 wakiwa na Points zao 21, huko Kagera Sugar wakiwa nafasi ya 15 kati ya timu 16 wakiwa na Points zao 12. Mechi itaanza saa moja kamili usiku.
FULL TIME
Kagera Sugar 3 – 0 Fountain Gate
Matokeo KMC vs Yanga leo 14 February 2025
Soma Pia
- Msimamo ligi kuu ya Wanawake Tanzania 2024-2025
- Matokeo Ya Yanga vs Copco leo 25 January 2025
- Msimamo Ligi daraja la Kwanza Tanzania 2024-2025
- Ratiba ya Azam Ligi kuu 2024-2025 Raundi ya Pili
- Ratiba ya Simba Raundi ya Pili Ligi Kuu 2024-2025
- Ratiba Ya Yanga Raundi ya Pili Ligi kuu 2024-2025
- Ratiba Ya Raundi ya Pili Ligi kuu 2024-2025
- Ratiba Mpya Ligi kuu NBC 2024-2025 Raundi ya Pili
Matokeo ya Ligi kuu NBC Leo 14 Februari 2025, Matokeo ya Ligi kuu NBC Leo 14 February 2025, Matokeo ya Ligi kuu NBC Leo 14/2/2025, Matokeo Ligi kuu NBC Leo February 14 2025
Leave a Reply