Ratiba ya Ligi kuu Tanzania leo 7/2/2025, Ratiba ya Ligi kuu NBC Tanzania leo 7/2/2025, Ratiba Ligi kuu leo 7/2/2025
Ratiba ya Ligi kuu Tanzania leo 7/2/2025
Ligi kuu soka ya Tanzania bara inaendelea leo 7 February 2025 kwa jumla ya MECHI MBILI kuchezwa katika viwanja viwili mechi zote zikichezwa kuanzia saa kumi kwa saa za Afrika Mashariki
Coastal Union vs JKT Tanzania
Coastal Union leo 7 February 2025 itakuwa nyumbani katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha katika mchezo huo Coastal Union watawakaribisha JKT Tanzania katika mechi ambayo itaanza saa kumi kamili kwa saa za Afrika Mashariki , 1600 Hours.
Singida Black Stars vs Kagera Sugar
Mechi nyingine ligi kuu soka ya Tanzania bara leo 7/2/2025 Itahusisha timu ya Singida Black Stars itakayokuwa nyumbani uwanja wa CCM LITI kucheza dhidi ya Kagera Sugar , mechi hiyo itaanza saa kumi kamili kwa saa za Afrika Mashariki, 1600 Hours
Soma Pia
- Matokeo Simba vs Kilimanjaro Wonders 26 January 2025
- Kikosi cha Simba vs Kilimanjaro Wonders leo 26 January 2025
- Ratiba mechi za Simba 2024-2025 Ligi kuu NBC
- Ratiba ya Simba Raundi ya Pili Ligi Kuu 2024-2025
- Viingilio Mechi ya Simba vs Kilimanjaro Wonders 26 January 2025
- Vituo vya Kununulia Tiketi Simba vs Kilimanjaro Wonders 26 January 2025
- Ratiba mechi za Simba February 2025
- Kikosi cha Simba vs Constantine leo 19 Januari 2025
- Matokeo Ya Yanga vs Copco leo 25 January 2025
- Kikosi cha Yanga vs Copco leo 25 January 2025 CRDB Cup
- CV ya Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo : Yanga Sc
- Ratiba Mechi za Yanga Ligi Kuu NBC 2024/2025
- Alichokisema Ramovic Kuelekea Yanga vs COPCO 25/1/2025
- Viingilio mechi ya Yanga vs Copco 25 January 2025
- Ratiba Ya Yanga Raundi ya Pili Ligi kuu 2024-2025
- Ratiba mechi za Yanga February 2025
- Matokeo ya Yanga vs Mc Alger leo 18 Jan 2025
- Kikosi cha Yanga dhidi ya Mc Alger Leo 18/1/2025
- Yanga vs Mc Alger 18.1.2025 Karata Zimekaa Hivi
Leave a Reply