Timu zinazoongoza kupata Penati Ligi Kuu NBC, Timu zinazoongoza kupata Penati Ligi Kuu NBC 2024-2025
Timu zinazoongoza kupata Penati Ligi Kuu NBC
Mara baada ya kila timu kucheza jumla ya mechi 16 kwenye ligi kuu Tanzania bara NBC Premier League 2024-2025 hizi ndizo timu zinazoongoza kwa kupata Penati, Penati ilizofunga na Penati ilizokosa
Kwenye list hiyo klabu ya Simba inaongoza Kwa Kupata Penati nyingi zaidi ikiwa tayari imeshapata jumla ya Penati 7 huku wakiwa na Rekodi nzuri zaidi kwani wamepata penati zote 7. Klabu za Tabora United, Coastal Union na Yanga Sc timu hizo pia zimepata jumla ya Penati 5, Tabora United na Coastal Union wamefunga Penati 4, Yanga wao wamefunga penati 3 katika hizo tano walizopata
Kwa Upande wa Timu nyingine ambazo mpaka Raundi ya 16 hazijapata kabisa penati hata moja ni KMC, Pamba na klabu ya kagera Sugar wao hakuna penati hata moja ambayo wamefanikiwa kupata
Soma Pia
- Msimamo wa wafungaji nbc 2024-2025
- Yanga waichakaza Kengold kwa bao 6
- Wafungaji bora Ligi Kuu Tanzania 2024-2025
- Matokeo Yanga vs KenGold leo 5 February 2025
- Kikosi cha Yanga vs KenGold leo 5 February 2025
- Kikosi cha KenGold vs Yanga leo 5/2/2025
- Matokeo Tabora United vs Namungo leo 5 February 2025
- Ratiba Ya Yanga Raundi ya Pili Ligi kuu 2024-2025
- Matokeo Simba vs Fountain Gate leo 6 February 2025
- Muda wa Mechi Yanga vs KenGold Leo 5/2/2025
Leave a Reply