Vituo vya Kununua Tiketi Yanga vs Mc Alger 18 January 2025, Vituo vya Tiketi Yanga vs Mc ALger 18.1.2025
Vituo vya Kununua Tiketi Yanga vs Mc Alger 18 January 2025
Klabu ya Yanga 18 January 2025 itashuka uwanjani kucheza dhidi ya MC Alger kutoka nchini Algeria katika mechi ambayo itachezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Temeke Jijini Dar Es Salaam
Kuelekea mchezo kati ya Yanga dhidi ya MC Alger Jumamosi 18 January 2025 Klabu ya Yanga imetangaza Vituo vya Kukata Tiketi kwa watu watakaohudhuria mechi ya Yanga dhidi ya Mc Alger .
Vituo vya Tiketi Yanga vs Mc Alger 18 January 2025
Young Africans Makao Makuu – Jangwani
Vunja Bei – Dar Es Salaam Shops
T Money Limited – Kigamboni
Gitano Samweli – Mbagala Zakhiem
Lamapard Electronics
Gwambina Lounge
Karoshy Pamba – Dar Live Mbagala
Khalfan Mohammed – Ilala
Antonio Service – Sinza Kivukoni
Tumpe kamwela – Kigamboni
Sovereign – Kinondoni Makaburini
View Blue Skyline – Mikocheni
Mkaluka Traders – Machinga Complex
New Tech General traders – Ubungo
Sabana Business – Mbagala Maji Matitu
Juma Burrah – Kivukoni
Juma Burrah – Msimbazi
Alphan Hinga – Ubungo
Mtemba Services Co – Temeke
Jackson Kimabo – Ubungo
Shirima Shop – Leaders

Soma Pia
- Viingilio Yanga vs Mc Alger 18 January 2025
- Ratiba Mechi za Yanga Ligi Kuu NBC 2024/2025
- Ratiba mechi za Simba 2024-2025 Ligi kuu NBC
- Timu 8 zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika
- Ratiba Ligi kuu Tanzania 2024-2025
- Msimamo NBC Championship 2024-2025 Tanzania
- Jinsi ya Kupata Namba ya NIDA kwa Haraka 2025
- Kupata Namba ya NIDA kwa SMS 2025
- Msimamo Ligi daraja la Kwanza Tanzania 2024-2025
- Jinsi ya Kuangalia Namba yako ya NIDA Online 2025
Leave a Reply