Yanga waichakaza Kengold kwa bao 6, Matokeo Yanga vs Kengold 5/2/2025, Matokeo Yanga vs Kengold 5 February 2025
Yanga waichakaza Kengold kwa bao 6
Klabu ya Yanga ikicheza mbele ya mashabiki wake katika uwanja wa KMC ilifanikiwa kupata ushindi mbele ya Kengold kwa kupata ushindi wa bao 6 kwa 1 na kukwea tena mpaka kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Tanzania NBC Premier League,
Magoli ya Yanga katika mchezo dhidi ya Kengold yalifungwa na Prince Dube magoli mawili, Clement Mzize Magoli mawili, Pacome na Abuya wakifunga bao moja kila mmoja .
Goli la maajabu la Kengold dhidi ya Yanga lilifungwa na Mchezaji Seleman Bwenzi aliyefunga tokea katikati ya uwanja kwa kupiga moja kwa moja wakati akianzisha mpira mara baada ya Yanga kuwa wamefunga goli lao la Sita, Seleman aliweza kumchungulia vyema Kipa Djigui Diarra na kisha kufunga bao hilo pekee kwa Kengold
soma pia
- Wafungaji bora Ligi Kuu Tanzania 2024-2025
- Matokeo Yanga vs KenGold leo 5 February 2025
- Kikosi cha Yanga vs KenGold leo 5 February 2025
- Kikosi cha KenGold vs Yanga leo 5/2/2025
- Matokeo Tabora United vs Namungo leo 5 February 2025
- Ratiba Ya Yanga Raundi ya Pili Ligi kuu 2024-2025
- Muda wa Mechi Yanga vs KenGold Leo 5/2/2025
- Wachezaji wanaoongoza kwa Assist Ligi Kuu Tanzania 2024-2025
- Ratiba ya Azam Ligi kuu 2024-2025 Raundi ya Pili
- Ratiba Mpya Ligi kuu NBC 2024-2025 Raundi ya Pili
Leave a Reply